ENTERTAINMENT

Mirror avunjika mguu katika ajali ya gari


Katika ajali hiyo, muimbaji huyo amevunjika mguu wa kulia na itachukua miezi mitatu kukaa sawa.
“Mguu umevunjika kabisa, kwa hiyo nimefanyiwa upasuaji na wameunga kabisa mfupa. Nipo hospitali ya private ipo Tegeta, wamenifanyia upasuaji wakawaida, na wameniwekea antena za ndani kwa ndani,” Mirror alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM.
Mpaka jana muimbaji huyo alikuwa bado hajaruhusiwa kuondoka katika hospitali ambayo amelazwa kwa ajili ya matibabu.

About felichismi

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.