Nimwaka mmoja sasa toka Tiffah kuzaliwa. Katika page mbalimbali za instagram mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu wameonekana wakimpongeza mtoto huyo ya kumtakia maisha marefu leo 6/8/2016.
Mbali na salamu toka kwa Ex wa Diamond bibie Wema Sepetu Diamond Platnumz kupitia ukurasa wake wa instagram alikuwa na haya yakumwambia mwanae.
0 comments:
Post a Comment