SPORTS

Chelsea yaanza vyema msimu mpya ligi ya Uingereza..

 Chelsea's Cesc Fabregas (C) in action with Liverpool's Ragnar Klavan before he gets a red card
Chelsea almaarufu kama The Blues chini ya kocha wao Antonio Conte wameanza msimu mpya wa ligi kuu ya nchini Uingereza kwa ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya West Ham United.

 Chelsea's Eden Hazard celebrates with teammates after scoring the opening goal from the penalty spot

Mabao ya Chelsea yalitiwa nyavuni na Diego Costa na Eden Hazard wakati bao la kufutia machozi la West Ham likitiwa nyavuni na James Collins.
 Chelsea's Diego Costa celebrates after scoring their second goal

Kupitia ushindi huo Chelsea imejinyakulia pointi tatu nakushika nafasi ya tatu baada ya Man united na Liverpool.

Mpaka sasa timu zilizopo mkiani ni pamoja na Burnley, Crystal Palace na Bournemouth zikiwa hazijaambulia hata pointi moja.

 Antonio Conte

About felichismi

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.